Odinga alaumu serikali kwa kushindwa kutimiza ahadi
Published on: August 27, 2016 10:08 (EAT)
Wabunge wa chama cha ODM wanazidi kumpigia debe kinara wao Raila Odinga aidhinishwe kupeperusha bendera ya muungano wa cord, katika kinyang’anyiro cha ikulu mwaka ujao. Wabunge hao wanasisitiza odinga ndiye mwenye uzoefu na tajriba ya kutosha kumenyana na rais Uhuru Kenyatta, licha ya shinikizo la baadhi ya viongozi wa eneo la magharibi, wanaompigia debe kinara wa Amani Congress Musalia Mudavadi. Francis Gachuri ana taarifa kamili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment