Odinga ataka wakazi wa Kericho wamuunge mkono

Kinara wa upinzani Raila Odinga hii leo amesema kuwa serikali ya NASA itahakikisha kuwa imepigania nyongeza ya bei ya majani chai ili kukuza uchumi wa mmea huo na wakulima.
Odinga ambaye aliongoza kampeni za NASA katika kaunti ya Kericho aidha amewataka wafuasi wa NASA kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya uchaguzi.

Tags:

raila odinga Isaac Ruto NASA Bomet Kericho

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories