Odinga ataka wakazi wa Kericho wamuunge mkono
Published on: July 06, 2017 08:44 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga hii leo amesema kuwa serikali ya NASA itahakikisha kuwa imepigania nyongeza ya bei ya majani chai ili kukuza uchumi wa mmea huo na wakulima.
Odinga ambaye aliongoza kampeni za NASA katika kaunti ya Kericho aidha amewataka wafuasi wa NASA kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya uchaguzi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment