Odinga sasa anataka kubuniwe serikali ya mpito

Kinara wa NASA Raila Odinga sasa anapendekeza kubuniwa kwa serikali ya mpito itakayojumuisha mirengo ya Jubilee na NASA, serikali hiyo ikihudumu kwa kipindi cha miezi sita ili kulipa taifa nafasi ya kufanyia mabadiliko mfumo wa uchaguzi ili kuandaa marudio ya kinyanganyiro cha urais hapo baadaye. Odinga alitaja hayo alipokuwa akifanyiwa mahojiano na shirika la habari la Reuters.

Tags:

raila odinga JUBILEE NASA Nusu Mkate transitional government

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories