Odinga sasa anataka kubuniwe serikali ya mpito
Published on: November 08, 2017 08:13 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga sasa anapendekeza kubuniwa kwa serikali ya mpito itakayojumuisha mirengo ya Jubilee na NASA, serikali hiyo ikihudumu kwa kipindi cha miezi sita ili kulipa taifa nafasi ya kufanyia mabadiliko mfumo wa uchaguzi ili kuandaa marudio ya kinyanganyiro cha urais hapo baadaye. Odinga alitaja hayo alipokuwa akifanyiwa mahojiano na shirika la habari la Reuters.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment