Odinga: umri wangu sio kizuizi
Published on: November 29, 2016 09:24 (EAT)
Kiongozi wa odm raila odinga amesema umri si kizuizi cha yeye kuwania urais. Akimjibu rais kenyatta ambaye alimtaka ajiuzulu kutokana na umri wake, Odinga amesema kuwa suala la uongozi huamuliwa na wananchi na kuwataka wana jubilee kujitayarisha kwa kivumbi kikali katika uchaguzi mkuu ujao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment