ODM chakamilisha maandalizi ya kura za mchujo Bungoma na Busia
Published on: April 07, 2017 08:13 (EAT)
Maandalizi ya mchujo wa chama cha ODM katika kaunti za Bungoma na Busia yalikuwa yamekamilika hata baada ya IEBC kupinga zoezi hilo kuanza kabla ya tarehe 13 mwezi huu. Mwanahabari wetu Steven Letoo yuko Bungoma na ameandaa taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment