ODM chakamilisha maandalizi ya kura za mchujo Bungoma na Busia

Maandalizi ya mchujo wa chama cha ODM katika kaunti za Bungoma na Busia yalikuwa yamekamilika hata  baada ya IEBC kupinga zoezi hilo kuanza kabla ya tarehe 13 mwezi huu. Mwanahabari wetu Steven Letoo yuko Bungoma na ameandaa taarifa ifuatayo.

Tags:

IEBC ODM nominations kura za mchujo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories