Omamo na Matiangi wakanusha KDF watatumiwa

Mawaziri Raychelle Omamo wa ulinzi na mwenzake Fred Matiang’i wa usalama wa ndani wamekanusha madai ya muungano wa Nasa kuwa serikali inapanga kuwatumia wanajeshi kuiba kura katika uchaguzi mkuu ujao. Wakihutubia waandishi wa habari mjini Kisumu mawaziri hao walisema kuwa nia ya muungano wa Nasa ni kuzua hofu miongoni mwa wakenya kwani madai yao hayana msingi wowote.

Tags:

KDF raila odinga JUBILEE Raychelle Omamo Fred Matiang'i NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories