Omamo na Matiangi wakanusha KDF watatumiwa
Published on: July 29, 2017 08:27 (EAT)
Mawaziri Raychelle Omamo wa ulinzi na mwenzake Fred Matiang’i wa usalama wa ndani wamekanusha madai ya muungano wa Nasa kuwa serikali inapanga kuwatumia wanajeshi kuiba kura katika uchaguzi mkuu ujao. Wakihutubia waandishi wa habari mjini Kisumu mawaziri hao walisema kuwa nia ya muungano wa Nasa ni kuzua hofu miongoni mwa wakenya kwani madai yao hayana msingi wowote.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment