Onyo kwa wanasiasa wenye chuki
Published on: July 13, 2017 09:06 (EAT)
Tume ya kitaifa ya uwiano na utangamano nchini NCIC,imeeleza hofu yake kuhusiana na kuongezeka kwa jumbe za chuki zinazoenezwa kupitia mitandao tofauti ya kijamii, jumbe ambazo pia tume hiyo inasema zimekithiri katika redio zinazotangaza kwa lugha asili za jamii tofauti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment