Operesheni ya kuhakikisha wanafunzi wamerudi shuleni yaimarishwa pwani
Published on: January 19, 2018 08:34 (EAT)
Mshirikishi mkuu wa polisi kanda ya pwani Nelson Marwa ametoa onyo kali kwa wazazi watakaokiuka amri ya wizara ya elimu ya kuwapeleka watoto shule. Haya yanajiri huku serikali ikitangaza kuanza usambazaji wa vitabu na vifaa vya mtaala mpya wa elimu wiki ijayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment