Otuoma arejeshewa kiti cha Naibu mwenyekiti, ODM

Mbunge wa Funyula Paul Otuoma amerejea katika wadhifa wa naibu mwenyekiti wa chama cha ODM takriban miezi mitatu tangu kujiuzulu kwake kutoka wadhifa huo.Haya yamejiri katika hafla ya mazishi ya aliyekuwa kocha wa klub Ya Gor Mahia James Siang’a, hafla ambayo kinara wa odm raila odinga alihudhuria. Mwanahabari wetu Philip Murutu ana kina cha taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories