Oxford yaanzisha kamusi ya Kiswahili mtandaoni

Shirika la uchapishaji vitabu la Oxford limeanzisha kamusi ya kiswahili kupitia mtandaoni chini ya mpango uitwao Oxford Global Languages kama hatua ya kukuza lugha mbalimbali duniani. katika kamusi hiyo, maneno mengi yenye ubora wa kipekee yatatungwa, yakusanywe na yawekwe wazi katika mtandao kwa watumiaji, wanafunzi na wataalamu…hassan farah na kina cha hii na zinginezo.

Tags:

kamusi ya kiswahili oxford

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories