Pacha waliotenganishiwa hospitalini Kenyatta waruhusiwa kwenda nyumba
Published on: June 15, 2017 08:56 (EAT)
Pacha waliofanyiwa upasuaji wa kutenganishwa mwaka jana katika hospitali ya Kenyatta, Favor na Blessing, wameruhusiwa kuondoka hospitalini humo hii leo. Watoto hao waliozaliwa wakiwa wameshikana katika sehemu za chini za migongo yao walisalia katika hali hiyo kwa kipindi cha miaka miwili kabla ya madaktari kufanikiwa kuwatenganisha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment