Pacha waliotenganishiwa hospitalini Kenyatta waruhusiwa kwenda nyumba

Pacha waliofanyiwa upasuaji wa  kutenganishwa mwaka jana katika hospitali ya Kenyatta, Favor na Blessing, wameruhusiwa kuondoka hospitalini humo hii leo. Watoto hao waliozaliwa  wakiwa wameshikana katika sehemu za chini za migongo yao walisalia katika hali hiyo kwa kipindi cha miaka miwili kabla ya madaktari kufanikiwa kuwatenganisha.

Tags:

KNH favor and blessing

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories