Pasipoti mpya ya Afrika Mashariki yazinduliwa
Published on: August 31, 2017 10:08 (EAT)
Kenya hii leo imezindua paspoti mpya kabisa za kielektroniki kufuatia makubaliano ya nchi za Afrika Mashariki kwamba wananchi wake wawe na vibali sawa vya kusafiri nje ya nchi. Sasa unatakiwa kuwa na pasipoti hii ifikiapo mwezi Desemba 2018.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment