Pasipoti mpya ya Afrika Mashariki yazinduliwa

Kenya hii leo imezindua paspoti mpya kabisa za kielektroniki kufuatia makubaliano ya nchi za Afrika Mashariki kwamba wananchi wake wawe na vibali sawa vya kusafiri nje ya nchi. Sasa unatakiwa kuwa na pasipoti hii ifikiapo mwezi Desemba 2018.

Tags:

Fred Matiang'i Immigration East african E-passport

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories