Polisi wa trafiki wafumaniwa wakila mlungula barabarani

Maafisa watatu wa trafiki wamekamatwa hii leo na tume ya maadili na kupambana na ufisadi, kufuatia picha za kamera zilizowaonyesha wakipokea hongo kutoka kwa watu waliokuwa na lori tarehe kumi na sita mwezi uliopita.

Tags:

corruption Police Bribery

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories