Polisi wa trafiki wafumaniwa wakila mlungula barabarani

Maafisa watatu wa trafiki wamekamatwa hii leo na tume ya maadili na kupambana na ufisadi, kufuatia picha za kamera zilizowaonyesha wakipokea hongo kutoka kwa watu waliokuwa na lori tarehe kumi na sita mwezi uliopita.

Tags:

corruption Police Bribery

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories