Polisi waliomuua Kwekwe Mwandaza washindwa kwenye rufaa
Published on: February 17, 2017 09:00 (EAT)
Polisi waliomuua Kwekwe Mwandaza sasa wataekea jela kutumikia kifungo cha miaka saba baada ya kushindwa kwenye kesi ya rufaa. Mwandaza aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwao huko Kinango mwaka wa 2014. Kwa taarifa hiyo na nyingine kutoka mahakamani huu hapa mkusanyiko wa taarifa za kortini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment