Polisi walivunja mkutano wa Gavana Joho

 

Polisi katika kaunti ya kwale hii leo walivunja mkutano wa kisiasa uliokuwa uhutubiwe na gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho na mwenzake wa kilifi amason kingi katika mji wa kinango.

Mkutano huo uliokuwa umeandaliwa na mgombea kiti cha ubunge wa Kinango Benjamin Tayai ulitibuliwa na maofisa wa polisi muda mfupi kabla ya joho na kingi kuwasili katika sehemu hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories