Polisi wanaolinda maonyesho ya kilimo waugua Kipindupindu

Maafisa wanne wa polisi wamefikishwa katika hospitali ya Mbagathi hapa jijini baada ya kuonyesha dalili za kuwa na maradhi ya kipindupindu. Kwingineko wauguzi wameandamana mjini Mombasa kupinga kauli ya waziri wa afya Cleopha Mailu kwamba serikali itawafuta kazi wauguzi wanaogoma.

Tags:

Police ASK Cho;era

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories