Polisi wanaolinda maonyesho ya kilimo waugua Kipindupindu

Maafisa wanne wa polisi wamefikishwa katika hospitali ya Mbagathi hapa jijini baada ya kuonyesha dalili za kuwa na maradhi ya kipindupindu. Kwingineko wauguzi wameandamana mjini Mombasa kupinga kauli ya waziri wa afya Cleopha Mailu kwamba serikali itawafuta kazi wauguzi wanaogoma.

Tags:

Police ASK Cho;era

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories