Polisi wanaolinda maonyesho ya kilimo waugua Kipindupindu
Published on: October 04, 2017 08:28 (EAT)
Maafisa wanne wa polisi wamefikishwa katika hospitali ya Mbagathi hapa jijini baada ya kuonyesha dalili za kuwa na maradhi ya kipindupindu. Kwingineko wauguzi wameandamana mjini Mombasa kupinga kauli ya waziri wa afya Cleopha Mailu kwamba serikali itawafuta kazi wauguzi wanaogoma.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment