Polisi watumia risasi kwenye sokomoko Nyandarua
Published on: May 13, 2017 08:51 (EAT)
Mtu mmoja amefariki na mwingine anauguza majeraha hospitalini baada ya vurugu na maandamano ya kupinga hatua ya mahakama kumtangaza Wanjiku Muhia kama aliyeibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha Jubilee katika kaunti ya Nyandarua. Waandamanaji walifunga barabara za kaunti hiyo na kukabiliana na polisi ambapo watu hao wawili walipigwa risasi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment