Polisi watumia vitoa machozi kutawanya vijana mjini Kisumu

Hali ya vurugu ilishuhudiwa mapema Jumatano mjini Kisumu baada ya vijana waliojawa na hamaki kuvamia kundi la wanawake waliokuwa kwenye mkutano wa kidini katika hoteli moja mjini humo. Vijana hao walilivamia kundi hilo la wanawake kwa madai kwamba kulikuwa na watu waliokuwa wakinunua vitambulisho kutoka kwa wenyeji kabla ya uchaguzi baadaye mwezi Oktoba.

 

Tags:

kisumu Jumuia hotel kiumu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories