Polycarp Igathe ajiuzulu kama naibu gavana wa Nairobi
Published on: January 12, 2018 08:35 (EAT)
Naibu gavana katika kaunti ya Nairobi Polycarp Igathe amejiuzulu. Igathe amesema kuwa ameshindwa kupata imani kutoka kwa gavana wa jiji Mike Sonko. Kujiuzulu kwa Igathe kumejiri kufuatia manunguniko baada ya uchaguzi uliopita.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment