Prof Ali A Mazrui Afariki Marekani

Msomi mashuhuri Profesa Ali Mazrui amefariki  katika hospitali moja nchini  marekani baada ya kuugua kwa muda mrefu. Profesa mazrui ambaye amewahi hudumu kama chansela wa chuo kikuu cha JKUAT alikuwa akifunza katika chuo kikuu cha Binghamtom nchini marekani.kifo chake kimekuwa pigo kwa wasomi wengi kote ulimwenguni

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories