Raia wa Zimbabwe wataka Mugabe ajiuzulu
Published on: November 18, 2017 08:12 (EAT)
Maelfu ya raia wa Zimbabwe walijitokeza hii leo kwenye barabara ya jiji la Harare wakimtaka Rais Mugabe kutoka mamlakani. Kulingana nao, wamechoshwa na utawala wa udikteta.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment