Raila: 10% ya mapato ya mafuta ibaki Turkana
Published on: February 18, 2017 09:03 (EAT)
Kwa siku ya pili sasa vigogo wa chama cha ODM wameendeleza kampeni za upinzani katika kaunti ya Turkana, huku siasa za rasilimali ya mafuta iliyoko katika eneo la ngamia kaunti ya Turkana zikionekana kuchacha katika mikutano ya leo. Viongozi hao wameishutumu serikali kwa kuhujumu mswada bungeni unaopania kuipa kaunti hiyo asilimia kumi ya mapato kutoka kwa rasilmali hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment