Raila aanza ziara ya kaunti ya Turkana
Published on: February 17, 2017 09:05 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga amewataka wakazi wa kaunti ya Turkana kujitokeza kwa wingi na kupiga kura mnamo agosti 8 ili kuiondoa serikali ya Jubilee mamlakani. Odinga ambaye alizuru kaunti hiyo amesema kwamba serikali ya Jubilee imeshindwa kuboresha maisha ya Wakenya.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment