Raila aanza ziara ya kaunti ya Turkana
Published on: February 17, 2017 09:05 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga amewataka wakazi wa kaunti ya Turkana kujitokeza kwa wingi na kupiga kura mnamo agosti 8 ili kuiondoa serikali ya Jubilee mamlakani. Odinga ambaye alizuru kaunti hiyo amesema kwamba serikali ya Jubilee imeshindwa kuboresha maisha ya Wakenya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment