Raila adai Jubilee itawatumia wanajeshi kuiba kura
Published on: July 28, 2017 08:28 (EAT)
Vigogo wa nasa wameahidi kuimarisha uhusiano kati ya Kenya na nchi za Afrika mashariki ili wakenya waweze kufanya biashara bila vizuizi iwapo watashinda uchaguzi mkuu ujao. Katika kampeni zao mjini Namanga kaunti ya Kajiado, Raila Odinga amesisitiza kuwa seriakli ina njama ya kutumia wanajeshi kuiba kura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment