Raila adai Jubilee itawatumia wanajeshi kuiba kura

Vigogo wa nasa wameahidi kuimarisha uhusiano kati ya Kenya na nchi za Afrika mashariki ili wakenya waweze kufanya biashara bila vizuizi iwapo watashinda uchaguzi mkuu ujao. Katika kampeni zao mjini Namanga kaunti ya Kajiado, Raila Odinga amesisitiza kuwa seriakli ina njama ya kutumia wanajeshi kuiba kura.

Tags:

raila odinga Kajiado Namanga NASA bisisl Nkedianye

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories