Raila ahudhuria mikutano ya chama Mombasa
Published on: March 25, 2017 08:44 (EAT)
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga ameanza ziara yake ya siku mbili katika kaunti ya Mombasa na kufanya mikutano kadhaa na wanachama. Odinga amepangiwa kuhudhuria mkutano utakaofanyika katia uwanja wa Tononoka hapo kesho. Aidha polisi wamepiga marufuku mkutano wa Jubilee ambao ungefanyika sambamba na huo wa ODM katika uwanja wa Mvita Jumapili hii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment