Raila ailaumu serikali kufuatia ukosefu wa unga nchini

Kinara wa NASA Raila Odinga sasa anamtaka Rais Uhuru Kenyatta kuelekea nchini Ethiopia na kuagiza mahindi ili kutatua suala la ukosefu wa unga nchini. Odinga amesema kuwa mahindi yaliyoko Ethiopia ni ya bei nafuu ikilinganishwa na yale ya Mexico, na pia itachukua siku mbili pekee kuwasili humu nchini.

Tags:

raila odinga Ethiopia NASA maize Mexico mahindi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories