Raila ailaumu serikali kufuatia ukosefu wa unga nchini
Published on: June 07, 2017 09:12 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga sasa anamtaka Rais Uhuru Kenyatta kuelekea nchini Ethiopia na kuagiza mahindi ili kutatua suala la ukosefu wa unga nchini. Odinga amesema kuwa mahindi yaliyoko Ethiopia ni ya bei nafuu ikilinganishwa na yale ya Mexico, na pia itachukua siku mbili pekee kuwasili humu nchini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment