Raila akejeli viwango vya juu vya ufisadi serikalini
Published on: January 27, 2017 09:11 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga ametangaza kuwa kuna njama ya kukopa mabilioni ya pesa kutoka benki za kimataifa ili kutumia pesa hizo kulipa madeni humu nchini. Hata hivyo Duale amepuuzilia mbali madai ya Odinga na kutaja kama porojo. Stephen Letoo ameandaa taarifa hiyo pamoja na kampeni za upinzani za kuwataka wakenya wajisajili kuwa wapigakura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment