Raila aongoza kampeni huko Bondo, Siaya
Published on: September 23, 2017 08:31 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga amesema kuwa NASA haitakubali uchaguzi iwapo tume ya uchaguzi nchini IEBC haitafanyiwa marekebisho. Odinga alizungumza alipozuru maeneo bunge ya Bondo na Ugunja katika kaunti ya Siaya huku kinara mwenza Moses Wetangula akizuru Trans Nzoia na kuhutubu ujumbe huo hu
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment