Raila aongoza kampeni huko Bondo, Siaya
Published on: September 23, 2017 08:31 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga amesema kuwa NASA haitakubali uchaguzi iwapo tume ya uchaguzi nchini IEBC haitafanyiwa marekebisho. Odinga alizungumza alipozuru maeneo bunge ya Bondo na Ugunja katika kaunti ya Siaya huku kinara mwenza Moses Wetangula akizuru Trans Nzoia na kuhutubu ujumbe huo hu
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment