Raila aongoza sherehe za Mashujaa Kisumu

Kinara wa NASA Raila Odinga amewataka wafuasi wake kutolipiza kisasi dhidi ya maovu ya polisi. Odinga ambaye aliongoza mikutano ya NASA katika kaunti ya Siaya na Kisumu amesisitiza kuwa hakutafanyika marudio ya uchaguzi wiki ijayo.

Tags:

raila odinga kisumu Bondo anti-IEBC protesters

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories