Raila aongoza sherehe za Mashujaa Kisumu

Kinara wa NASA Raila Odinga amewataka wafuasi wake kutolipiza kisasi dhidi ya maovu ya polisi. Odinga ambaye aliongoza mikutano ya NASA katika kaunti ya Siaya na Kisumu amesisitiza kuwa hakutafanyika marudio ya uchaguzi wiki ijayo.

Tags:

raila odinga kisumu Bondo anti-IEBC protesters

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories