Raila apinga mradi wa maji wa Itare
Published on: November 05, 2016 09:12 (EAT)
Ujenzi wa bwawa la maji la Itare katika msitu wa mau unaendelea hata baada ya kinara wa upinzani Raila Odinga kutoa tahadhari kuwa mradi huo utaathiri kaunti nane zinazotegemea msitu wa Mau. Kikosi cha runinga ya citizen hii leo kilizuru eneo la mradi huo na kubaini kuwa tayari kazi imeanza huku wenyeji wakitoa malalamishi yao kuhusiana na mradi huo wakidai kuwa bado hawajalipwa fidia baada ya kuhamishwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment