Raila asema hakuna uchaguzi bila mabadiliko katika IEBC
Published on: September 21, 2017 09:03 (EAT)
Muungano wa Nasa sasa unataka mkurugenzi wa mashtaka ya umma Keriako Tobiko kuhakikisha kuwa maafisa wa IEBC waliohujumu uchaguzi wamechukuliwa hatua za kisheria. Raila Odinga aidha amesema kuwa Nasa haitakubali uchaguzi wa marudio iwapo IEBC haitakuwa imekamilisha mikakati ya uchaguzi huru na wa haki.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment