Raila asema kutakuwa na maandamano siku ya uchaguzi
Published on: October 18, 2017 08:25 (EAT)
Vinara wa muungano wa NASA wamesisitiza kuwa hakutakuwa na uchaguzi Oktoba 26 licha ya IEBC kuendelea na maandalizi. Raila Odinga akiongoza mkutano wa NASA hapa jijini Nairobi amesema kuwa tume ya IEBC imepoteza imani ya wakenya
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment