Raila asema ni kichekesho kwa rais kulalamikia rushwa

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amemkashifu Rais Uhuru Kenyatta kwa matamshi yake hapo jana kuwa ameshindwa kupambana na ufisadi. Odinga sasa anadai kuwa Rais Uhuru ameshindwa kuongoza kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake na wa serikali yake katika vita dhidi ya ufisadi, na anavyotuarifu mwanahabari wetu Victor Kenani, Odinga amemuuliza mkaguzi mkuu kutupilia mbali madai kuwa kashfa ya Eurobond imetekelezwa kikamilifu.

Tags:

raila odinga Rais Uhuru Kenyatta ufisadi rushwa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories