Raila asisitiza hawana imani na IEBC

Kinara wa NASA Raila Odinga amesema muungano wake hauna imani tena na IEBC kuandaa marudio ya uchaguzi baada ya mkutano wao kukosa kuzaa matunda hapo jana. Odinga ambaye alikutana na wajumbe kutoka kaunti za kisii—ameongeza kuwa hakuna makubaliano yoyote kati ya nasa na IEBC.

Tags:

IEBC raila odinga NASA Al Ghurair saffran Morpho

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories