Raila asisitiza hawana imani na IEBC
Published on: October 04, 2017 08:25 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga amesema muungano wake hauna imani tena na IEBC kuandaa marudio ya uchaguzi baada ya mkutano wao kukosa kuzaa matunda hapo jana. Odinga ambaye alikutana na wajumbe kutoka kaunti za kisii—ameongeza kuwa hakuna makubaliano yoyote kati ya nasa na IEBC.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment