Raila asisitiza wakazi kujiandikisha kwa wingi kupiga kura
Published on: September 29, 2016 10:00 (EAT)
Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, ameanza zara yake ya siku mbili katika kaunti ya Narok kwa kutembelea mji wa Kilgoris ambapo amesisitiza umuhimu wa watu wa eneo hilo kujiandikisha kwa wingi kama wapiga kura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment