Raila atajwa kwenye ripoti ya KQ
Published on: October 02, 2016 09:43 (EAT)
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amekanusha madai kwamba alihusika katika kuifilisisha kampuni ya usafiri ya ndege KQ hasa katika upande wa usafirishaji wa mizigo kama mmoja wa mwanahisa katika kampuni hiyo, haya ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na shirika la Delloite.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment