Raila ataka polisi walioua ng’ombe Laikipia watiwe mbaroni
Published on: November 04, 2017 08:30 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga anaitaka serikali kuwafidia wafugaji kutoka Laikipia ambao ng’ombe wao waliuawa na maafisa wa polisi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment