Raila atatenda uhaini akijiapisha, hukumu yake ni kifo – Muigai asema

Mwanasheria mkuu Githu Muigai ameuonya muungano wa NASA dhidi ya kutekeleza mpango wao wa kumwapisha Raila Odinga kama Rais akisema hatua hiyo itakuwa uhaini na adhabu yake ni kifo. Muigai amesema hayo katika kikao na wanahabari ambapo pia alikashifu kubuniwa kwa mabunge ya wananchi akionya kuwa wataotekeleza mpango huo watapigwa faini kwa utumizi mbaya wa mali ya umma.

Tags:

raila odinga Githu Muigai

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories