Raila awarudia watu wa Kibra
Published on: July 18, 2017 09:00 (EAT)
Kinara wa upinzani Raila Odinga hii leo amesisitiza kuwa muungano huo utatangaza matokeo yake ya uchaguzi hata baada ya iebc kupinga suala hilo.
Odinga ambaye aliandamana na kinara mwenza Kalonzo Musyoka aidha wamemuonya kaimu waziri wa usalama Fred Matiang’i dhidi ya utumizi mbaya wa ofisi hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment