Raila azuru Samburu

Kinara wa Cord Raila Odinga hii leo amewakashifu Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kwa kuendeleza kampeni za kuwarai wakenya kujisajili na kuwapigia kura huku madaktari na wahadhiri wakiandamana wakitaka nyongeza ya mishahara.

Odinga amewataka wawili hao kusitisha ziara zao katika maeneo tofauti na kupata suluhu mwafaka kutokana na matukio yanayojiri.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories