Raila: Kalonzo yuko ndani NASA na hatohama

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amesema kuwa kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka yuko ndani ya NASA na kamwe hana nia ya kuuhama muungano wa NASA. Odinga ambaye alizuru maeneo ya Kisii amesema kuwa muungano wa NASA utaendelea kufanya kazi pamoja.

Tags:

WIPER raila odinga kalonzo musyoka NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories