Raila: Kalonzo yuko ndani NASA na hatohama
Published on: March 30, 2017 08:51 (EAT)
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amesema kuwa kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka yuko ndani ya NASA na kamwe hana nia ya kuuhama muungano wa NASA. Odinga ambaye alizuru maeneo ya Kisii amesema kuwa muungano wa NASA utaendelea kufanya kazi pamoja.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment