Raila na Kalonzo wapeleka kampeni Samburu
Published on: July 19, 2017 08:04 (EAT)
Kinara wa NASA Raila Odinga na mgombea mwenza Kalonzo Musyoka wameikashifu serikali kwa kutumia nguvu kutatua mizozo ya ardhi katika kaunti za Laikipia na Samburu. Vigogo hao ambao wamezuru kaunti ya Samburu hii leo wameitaka serikali kutoa fidia kwa wale ambao mifugo wao waliathirika.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment