Raila na Wetangula wapiga kambi Bungoma
Published on: January 28, 2017 09:15 (EAT)
Viongozi wa upinzani hii leo wameendeleza kampeni za kuwarai wapiga kura wapya wajitokeze kusajiliwa katika maeneo tofauti humu nchini. Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka alizuru kaunti ya Makueni huku kinara wa ODM Raila Odinga akiendeleza kampeni hizo katika kaunti ya Bungoma.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment