Raila Odinga ajimwayamwaya Ukambani
Published on: October 24, 2017 08:15 (EAT)
kinara was muungano wa NASA Raila Odinga Leo alizuru kaunti za Ukambani kuhubiri ujumbe kuwa hakutakuwa na uchaguzi Oktoba 26. Raila pamoja na viongozi wengine wa kaunti za Machakos, Makueni na Kitui wamewataka wakazi wa kaunti hizo kususia uchaguzi wa Alhamisi wakiutaja kama kura ya maoni ya Jubilee.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment