Raila Odinga akutana na wagombea wa ODM
Published on: June 02, 2017 07:43 (EAT)
Mgombea Wa kiti cha urais kwa tiketi ya Nasa Raila Odinga hii leo amekutana na wagombea wote wa chama cha ODM katika kaunti zote za Nyanza na kuwarai kuanzisha kampeni tosha ya kumpigia debe. Aidha mkutano huo ulitoa mikakati ya jinsi wanachama wa ODM watajitokeza kwa wingi kupiga kura ifikapo Agosti nane.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment